Askofu John Simalenga (Pichani) wa Dayosisi ya Njombe Kanisa la Anglikan
Amefariki Dunia Asubuhi ya Saa Kumi na Moja Novemba 24 Mwaka Huu na
Mazishi Yanatarajiwa Kufanyika Novemba 28 Katika Kanisa Hilo.
Taarifa Toka
Kwa Msaidizi wa Askofu Huyo Mchungaji Canon Mlelwa Amesema Kuwa Marehemu
Simalenga Amefariki Dunia Baada ya Kuugua Kwa Kipindi Kifupi Kwa
Ugonjwa wa Malari na Kisukari Alichogundulika Kuwa Nacho na Hivyo Hadi
Kifo Chake Kinamkuta Alikutwa na Malari Mbili.
Aidha Mlelwa Amesema Kuwa Marehemu Askofu Simalenga Amekufa Akiwa na Miaka 60 Ambapo Alizaliwa Mwaka 1953 Katika Kijiji cha Milo Wilayani Ludewa na Uaskofu Alipata Julai 7 Mwaka 2007 Kisha Kuwa Askofu wa 7 Wa kanisa Hilo.
Aidha Mlelwa Amesema Kuwa Marehemu Askofu Simalenga Amekufa Akiwa na Miaka 60 Ambapo Alizaliwa Mwaka 1953 Katika Kijiji cha Milo Wilayani Ludewa na Uaskofu Alipata Julai 7 Mwaka 2007 Kisha Kuwa Askofu wa 7 Wa kanisa Hilo.
Marehemu Askofu Simalenga Ameacha Watoto Wanne na Mjane Mmoja.
Taarifa zaidi Juu ya Msiba Huoendelea kutembelea mtandao huu
Na Gabriel Kilamlya

0 comments:
Post a Comment