Home » » HALI YA MITIHANI KIDATO CHA NNE WILAYANI MAKETE NI SHWARI

HALI YA MITIHANI KIDATO CHA NNE WILAYANI MAKETE NI SHWARI

Written By kitulofm on Thursday, 7 November 2013 | Thursday, November 07, 2013



MAKETE



Afisa elimu secondary wilayani makete mkoani njombe Bwana Jacob Meena  amesema kuwa hali ya mitihani ya kidacho cha nne inayoendelea kwa sasa  wilayani Makete na Tanzania mzima kwa upande wa wilaya ya Makete hali ya ufanyaji wa mitihani hiyo aina dosari yoyote hadi hivi  sasa



Akizungumza na kitulo fm ofisini kwake Bwana Meena ameongeza kuwa hakuna tatizo lolote lile lililo ripotiwa ofisini kwake kuhusu mitihani inayoendelea



Hata hivyo amesema kuwa kuna aina tatu za watahiniwa waliosajiliwa kufanya mitihani hiyo ikiwa ni watahiniwa wa shule(wanafunzi waliokuwepo shuleni kwa kipindi cha miaka mine ),watahiniwa wa kujitegemea na mtihani wa maarifa



Akitoa idadi ya watahiniwa ambao wamesajiliwa kufanya mitihani hiyo wilayani hapa amesema jumla ya wanafunzi 1245 ambapo wanafunzi wa shule ni 1094 na watahiniwa wa kujitegemea pamoja na maarifa ni 151



Hata hivyo Bw.Meena ametoa wito kwa wanafunzi hao kuwa atunie akili yake ktk ufanyaji wa mitihani hiyo na siyo kutazamia kwa mwenzake kwani akikamatwa hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yake



Na Benson Kyando
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm