Home » » HAWA NDIO WASHIRIKI 8 WA SHINDANO LA WANAUME WENYE SURA MBAYA

HAWA NDIO WASHIRIKI 8 WA SHINDANO LA WANAUME WENYE SURA MBAYA

Written By kitulofm on Tuesday, 5 November 2013 | Tuesday, November 05, 2013

William Masvinhu Akiwa kwenye pozi:


William Masvinhu kwa mara nyingine tena amenyakua taji la Mwenye Sura Mbaya huko Zimbabwe katika shindano lililofanyika siku ya Ijumaa ndani ya ukumbi wa City Sports Bar.

Amepewa taji, hela pamoja na Ofa ya mwanae mmoja kulipiwa ada ya shule kwa mwaka mmoja, mke wake William naye alikuwepo ukumbuni hapo na alifurahia sana ushindi huo wa mumewe.

Katika kujifaharisha na taji lake, William alisema" Ubaya wa Sura yangu ni wa Asili, ingawa nilijiaanda kidogo kwa shindano hili lakini mengine niliyaacha yajishughulikie yenyewe"

Hao ndio washiriki wote kwa ujumla ambapo William alitoka Kidedea.

Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm