Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema, Serikali za Mitaa zikiweza kujisimamia na kutoa maeneo kwa ajili ya uwekezaji, zinaweza kupiga hatua za kiuchumi.
Pia amezishauri serikali hizo kuonyesha fursa zilizopo katika uwekezaji kwa lengo la kuwashawishi wawekezaji.
Pinda aliyasema hayo jana wakati akifungua mkutano wa siku mbili wa Ushirikiano wa Serikali za Mitaa kati ya Tanzania na China.
SOMA ZAIDI:MWANANCHI
SOMA ZAIDI:MWANANCHI

0 comments:
Post a Comment