Katibu wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Makete Bw.Miraji Mtaturu
Akizungumza na kitulo fm
mapema hii leo Bw.Mtaturu amesema anaunga mkono kauli hiyo na kumpongeza kiongozi
huyo kwa uamuzi aliouchukua na kuhusisha uwajibikaji kwa baadhi ya viongozi wa
wilaya ya Makete ambao hawawajibiki ipasavyo katika utekelezaji wa shughuli za
maendeleo hususani katika mradi wa maji uliofadhiliwa na Benki ya Dunia uliopo
katika tarafa ya Matamba.

Kifaa kinachotumika kupunguza uwingi wa maji katika eneo la kupunguzia maji
Na Fadhili Lunati
0 comments:
Post a Comment