Home » » MAANDAMANO KUENDELEA UKRAINE

MAANDAMANO KUENDELEA UKRAINE

Written By kitulofm on Sunday, 1 December 2013 | Sunday, December 01, 2013

 Maandamano mjini Kiev
Upinzani nchini Ukraine unamatumaini kuwa waandamanaji hadi alfukumi watajitokeza leo(01.12.2013)Jumapili na kutoa msukumo mpya kudai rais Viktor Yanukovich ajiuzulu kutokana na mzozo wa uhusiano na Umoja wa Ulaya.
 
Vyama vikuu vitatu vya upinzani vimesema vinaanzisha , "kikosi cha taifa cha upinzani" baada ya polisi wa kuziwia ghasia kuwatawanya waandamanji kwa kutumia nguvu na kuwajeruhi watu kadha jana Jumamosi.
Mkutano huo wa waungaji mkono upinzani ulivunjwa na polisi waliotumia virungu ambao waliwashambulia kiasi ya waandamanaji 1,000 katika uwanja wa uhuru katika mji mkuu Kiev mapema jana Jumamosi asubuhi(30.11.2013).
 
SOMA ZAIDI:DWKISWAHILI
 

Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm