Home » » KILIMO MAKETE MFANO WA KUIGWA

KILIMO MAKETE MFANO WA KUIGWA

Written By kitulofm on Friday, 31 January 2014 | Friday, January 31, 2014

 Hii ni baadhi ya eneo ambalo afisa kilimo kata ya Lupalilo Bw.Ngao alivyokuwa akiwaonyesha wanahabari jinsi ambavyo anahudumia mashamba yake 

Hata hivyo amewataka wananchi wanaoishi katika kata ya Lupalilo kumpa taarifa mara kwa mara katika maeneo ambayo wanaona kuna dalili za mimea yao kutokuwa katika hali nzuri kwani yeye ndiye mtaalam wa kilimo katani hapo hivyo wamtumie kama anavyotakiwa kutumika
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm