Home » » SAMAKI AINGIA SEHEMU ZA SIRI ZA MSICHANA WAKATI AKICHOTA MAJI

SAMAKI AINGIA SEHEMU ZA SIRI ZA MSICHANA WAKATI AKICHOTA MAJI

Written By kitulofm on Wednesday, 8 January 2014 | Wednesday, January 08, 2014

Ukisikia maajabu ya dunia ama kali ya mwaka 2014 basi hii hapa,Samaki mwenye ukubwa wa nchi nne aingia tumboni mwa msichana kupitia sehemu za Siri za msichana huyo.

Tukio limetokea huko Bunda mkoani Mara katika kijiji cha Bwanza siku ya jana.

Tukio hilo limetokea wakati msichana huyo akiwa amechuchumaa akichota maji kwa ajili ya kumwagilia bustani ya vitunguu lakini alishangaa kuona samaki akiruka kutoka ndani ya maji na kuingia sehemu zake za Siri na alipojaribu kumvuta alishindwa kutokana na maumivu ya kuchomwa na miba ya samaki huyo.

Samaki aliingia hadi kuzama kabisa hadi tumboni hali iliyopelekea msichana huyo kuanza kusikia maumivu makali ya tumbo mida ya saa 8 usiku na kisha kupelekwa hospitali na kudaiwa hana tatizo hivyo familia ya msichana huyo imempeleka mtoto wao kwa mganga wa kienyeji kwa tiba zaidi.
CHANZO:AMINIA EDWIN MOSHI
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm