Wakizungumza na kitulo fm kwa
nyakati tofauti wakulima hao wamesema wanapata shida sana
kwani wanyama hao aina ya nyani wamekuwa waharibifu sana
kwenye mazao yao
Wakulim hao mara nyingi
hujitahidi kulinda mazao yao kwa kutumia
mbwa na wakati mwingine hulazimika
kutumia njia mbadala ya kuwafunga mbwa katika mashamba yao
ili kunusuru hali ya mazao yao
Pia wameongeza kuwa wakulima
wengi wa eneo hilo hutegemea sana
kilimo cha mazao ya viazi,ngano na mahindi lakini pindi mazao hayo yanapofikia
hatua ya kukomaa nyani hao hushambulia mazao hayo na kuongeza kuwa huwa wanapata
shida sana
namna ya kuwadhibiti kwani shughuli zao za kilimo zipo karibu na misitu ambapo
misitu ndio makazi ya nyani hao
0 comments:
Post a Comment