Mhandisi
wa maji wa Manispaa ya Iringa, Taphali Ngwada (Kulia) akiwasilisha
taarifa ya maendeleo ya mradi wa maji unaolenga kuzifikia zaidi ya kaya
5000 za manispaa hiyo wakati wa ukaguzi uliofanywa na wataalam kutoka
Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango. Wataalam hao waliongozwa na Naibu Katibu
Mtendaji (Huduma za Jamii na Masuala ya Idadi ya Watu), Bibi Florence
Mwanri (Watatu Kulia mwenye koti jeusi) na Naibu Katibu Mtendaji (Uchumi
Jumla, Prof. Longinus Rutasitara (Wapili Kulia).
Home »
» KAYA ZAIDI YA 5000 IRINGA KUFIKIWA NA HUDUMA YA MAJI
KAYA ZAIDI YA 5000 IRINGA KUFIKIWA NA HUDUMA YA MAJI
Written By kitulofm on Friday, 28 February 2014 | Friday, February 28, 2014
Related Articles
If you enjoyed this article just click here, or subscribe to receive more great content just like it.
0 comments:
Post a Comment