Home » » MKUU WA WILAYA YA MAKETE LEO ANAKUMBUKA KUZALIWA KWAKE

MKUU WA WILAYA YA MAKETE LEO ANAKUMBUKA KUZALIWA KWAKE

Written By kitulofm on Saturday, 1 February 2014 | Saturday, February 01, 2014


Siku kama ya leo Mkuu wa wilaya ya Makete Mh.Josephine Matiro anakumbuka Tarehe ya kuzaliwa kwake kila mwaka hivyo ,Staff ya kitulo fm inakutakia heri ya kumbukumbuku ya kuzaliwa kwako na pongezi kwa yote unayoyafanya katika wilaya ya Makete na jinsi unavyotoa ushirikiano kwa wanahabari wilayani Makete 
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm