Jamii
wilayani Makete Mkoa wa Njombe imeelezwa juu ya umuhimu wa elimu ya ujasiriamali ili kuwa na
biashara endelevu kwa kuongeza pato la Familia na Taifa kwa ujumla
Kaimu Meneja wa TRA Wilaya ya Makete Aron Zumba akitoa maelezo katika Semiana hiyo kwa wajasiriamali
Hayo
yameelezwa na Meneja wa Mamlaka na Mapato Tanzania TRA huduma na elimu Mkoa wa
Iringa na Nombe Bw.Gerald Hill mapema hii leo kwa wafanyabiashara wakubwa na
wadogo wilayani hapa katika semina inayohusu inayohusu wajasiriamali wadogo na
wakubwa iiyofanyika katika ukumbi wa kata Iwawa Makete Mjini
Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA)huduma na mapato mkoa wa Iringa na Njombe Gabrie Hill
Bw.Gerald amesema kuwa ni muhimu wajasiriamali kupata elimu inayohusu wajasiriamali lengo likiwa ni mjasiriamali aweze kuendelea na kukuza biashara yake,Kujenga uhusiano mzuri kati ya Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA na walipa Kodi
Bw.Gerald amesema kuwa ni muhimu wajasiriamali kupata elimu inayohusu wajasiriamali lengo likiwa ni mjasiriamali aweze kuendelea na kukuza biashara yake,Kujenga uhusiano mzuri kati ya Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA na walipa Kodi
Nao
wajasiririamali waliokuwepo katika semina hiyo wameiomba TRA kuwapunguzia
Gharama za kodi ambapo wameongeza kuwa zoezi la bomoa bomoa lililofanyika
mwishoni mwa mwaka jana kubomoa vibanda eneo la Makete mjini limewaathiri kwa
kiasi kikubwa
Zaidi
ya wajasiriamali 50 kutoka katika Kata ya Iwawa Makete mjini wameweza kufika
katika semina na kunufaika na Mafunzo hayo pamoja na kutoa kero zao kuhusu
malipo ya kodi kuwa juu
Na Furahisha Nundu
Na Furahisha Nundu
0 comments:
Post a Comment