 |
Washindi wa tuzo
hiyo chuo kikuu cha Iringa wakiwa na tuzo yao kushoto ni mkuu wa chuo
Prof Nicholaus Bangu na kulia wa kwanza na mkuu msaidizi wa kitivo cha
sheria Bi Jane Massey |
Makamu
Mkuu wa chuo kikuu cha Tumaini Iringa, Prof Nicholaus Bangu
kushoto akipokea tuzo ya heshima ya sheria za vita kutoka kwa mkuu
msaidizi wa kitivo cha sheria Jane Massey huku wanafunzi walioshinda
wakishuhudia zoezi hilo leo
 |
mkuu msaidizi wa
kitivo cha sheria chuo kikuu cha Iringa Jane Massey akikabidhiwa tuzo
ya heshima ambayo chuo hicho kimeshinda katika mashindano
yaliyoshirikisha nchi saba Afrika na chuo hicho kunyakua tuzo hiyo
kwa kuwa chuo cha kwanza |
 |
Mkuu wa chuo
cha Tumaini ( chuo kikuu cha Iringa ) Prof Nicholaus Bangu akionyesha
tuzo ya heshima ya sheria za kivita ambayo chuo chake kimeiwezesha
Tanzania kufanya vema Na Francis Godwin | | | | |
0 comments:
Post a Comment