Home » » MANDELA ANAPUMUA BILA MASHINE

MANDELA ANAPUMUA BILA MASHINE

Written By kitulofm on Monday, 18 November 2013 | Monday, November 18, 2013


Nelson Mandela 
Na Mwandishi Wetu, Mwananchi

Cape Town. 
 Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela anapumua bila ya msaada wa mashine ingawa hawezi kuzungumza kwa sasa.
Mke wa zamani wa kiongozi huyo, Winnie Madikizela-Mandela aliliambia Shirika la Habari la Ufaransa (AFP), kuwa Mandela yuko chini ya uangalizi wa madaktari 22.
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm