Home » » MURSI AFIKISHWA MAHAKAMANI

MURSI AFIKISHWA MAHAKAMANI

Written By kitulofm on Tuesday, 5 November 2013 | Tuesday, November 05, 2013

Mursi afikishwa mahakamani

Kesi ya Rais wa Misri aliyeondolewa madarakani Mohamed Mursi imeanza tena baada ya kuahirishwa na jaji.

Washtakiwa 14 walivuruga utaratibu wa kesi kwa mayowe yao dhidi ya mahakama katika chuo cha mafunzo ya polisi Cairo.
Bendera ya Rais aliyepinduliwa madarakani Mohamed Mursi na saluti ya vidole vinne ikipeperushwa na wafuasi wake nje ya chuo cha polisi Cairo.(04.011.2013 Bendera ya Rais aliyepinduliwa madarakani Mohamed Mursi na saluti ya vidole vinne ikipeperushwa na wafuasi wake nje ya chuo cha polisi Cairo.(04.011.2013)

Haikuweza kufahamika mara moja kesi hiyo itaendelea kuahirishwa hadi muda gani leo hii Jumatatu (04.11.2013).

Wapinzani wa serikali inayoungwa mkono na jeshi wanasema kesi hiyo ni sehemu ya kampeni ya kukiangamiza chama chake cha Udugu wa Kiislamu na kurudisha utawala wa mabavu

HABARI ZAIDI NA DW
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm