Home » » NAIBU WAZIRI WA NISHATI ATAKIWA KUWAOMBA RADHI WATANZANIA

NAIBU WAZIRI WA NISHATI ATAKIWA KUWAOMBA RADHI WATANZANIA

Written By kitulofm on Wednesday, 27 November 2013 | Wednesday, November 27, 2013

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimemtaka Naibu Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene, kuwaomba radhi Watanzania kutokana na kutoa kauli ya kukatisha tamaa.


Simbachawene,  juzi alitoa kauli ya serikali ya kupandisha bei ya umeme kama Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), lilivyoomba hivi karibuni kutaka kuongeza gharama za nishati hiyo kwa asilimia 68.
 
Alisema ni ukweli usiopingika kuwa hata TANESCO ikiongeza gharama za umeme hadi kufikia sh 800 kwa uniti bado bei hiyo itaendelea kuwa nafuu ukilinganisha na  gharama za kununua mafuta ya taa.
SOMA ZAIDI.TANZANIA DAIMA


Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm