Na Gabriel Kilamlya Njombe
Jumla ya
Mkopo wa Shilingi Milioni 175 Unatarajiwa Kutolewa Kwa Wachama wa NSSF
Mkoa wa Njombe Kupitia SACCOS ya Lupembe na Wafanyabiashara Njombe
Saccos Katika Siku Zijazo Ili Kuwaboreshea Biashara na Uchumi wa
Wananchi Mkoani Hapa.
Kutolewa Kwa Mkopo Huo Katika Saccos Mbili Kwa Kipindi cha Hivi Karibuni Kitapelekea Kuwepo kwa Jumla ya Shilingi Milioni 869.11 Kwa Jumla ya Saccos Saba Ndani ya Mkoa wa Njombe.
Kutolewa Kwa Mkopo Huo Katika Saccos Mbili Kwa Kipindi cha Hivi Karibuni Kitapelekea Kuwepo kwa Jumla ya Shilingi Milioni 869.11 Kwa Jumla ya Saccos Saba Ndani ya Mkoa wa Njombe.
Bwana Mwakalukwa Amesema Kuwa Suala la Uhamasishaji Linalofanywa na NSSF Mkoa wa Njombe Limepelekea Saccos Nyingine Kuonesha Nia ya Kuomba Mikopo Katika Kuhakikisha Wanachama Wake Wananufaika na Mikopo Hiyo Inayotolewa Kwa Riba Ndogo ya Asilimia 9 Hadi 10 Kulingana na Ukubwa wa Mkopo.
Pamoja na Mambo Mengine Amesema Kuwa Baadhi ya SACCOS Tayari Wameanza Kurejesha Mikopo yao Hali Inayopelekea Kujenga Uaminifu wa Kuweza Kupata Mkopo Mwingine.
Hivi Karibuni NSSF Mkoa wa Njombe Imetoa Jumla ya Shilingi Milioni 250 Katika Saccos Ya Nyombo Ambapo Wanachama Wake Watakaonufaika na Mkopo Huo ni Wale Waliojiunga na NSSF Pekee.
Na Kabriel Kilamlya
0 comments:
Post a Comment