Home » » WAKULIMA WATAKA WASIBANWE KATIKA KUTAFUTA MASOKO

WAKULIMA WATAKA WASIBANWE KATIKA KUTAFUTA MASOKO

Written By kitulofm on Friday, 29 November 2013 | Friday, November 29, 2013

Mboga aina ya Biringanya ikiwa shambani tayari kwa kuanza kuvunwa. Picha na Maktaba

Katika siku za karibuni Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika iliwahakikishia wakulima kwa mara nyingine tena kwamba Rais Jakaya Kikwete ametoa kauli ambayo inawaruhusu wakulima kuwa huru katika kuuza mazao yao iwe kwa soko la ndani au nje.

Kauli hiyo imetolewa na msemaji wa wizara hiyo Richard Kasuga wakati akizungumza na gazeti hili.

“Kwa sasa wakulima wameruhusiwa kuuza bidhaa zao kwa namna wanavyotaka katika soko wanalotaka ili mradi wafuate sheria,” alisema Kasuga.

SOMA ZAIDI:Mwananchi
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm