Home » » WATANZANIA 4 WAPANDISHWA KIZIMBANI KWA KOSA LA KUJIUNGA NA KUNDI LA AL SHAABAB

WATANZANIA 4 WAPANDISHWA KIZIMBANI KWA KOSA LA KUJIUNGA NA KUNDI LA AL SHAABAB

Written By kitulofm on Friday, 22 November 2013 | Friday, November 22, 2013


 WATU wanne wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la Al Shabaab. Washitakiwa hao waliofikishwa mahakamani jana ni Ally Rashid, Shaban Waziri, Faraji Ramadhani na Mussa Mtweve.
 
Wakili wa Serikali, Peter Maugo alidai mbele ya Hakimu Mkazi Sundi Fimbo, kuwa kati ya Januari 11 mwaka jana na Septemba 16 mwaka huu, eneo la Kibaoni, Dar es Salaam, Rashid alisajili washitakiwa wenzake kuwa wanachama wa kundi hilo.
CHANZO:HABARI LEO
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm