Akisoma hati ya mashtaka
mbele ya hakim mkazi wa wilaya John Kapokoro mwendesha mashtaka wa takukuru
mkoani njombe mh Colman Njau amesema kuwa mtuhumiwa anatuhumiwa kwa makosa
mawili ambayo aliyafanya mwezi Julai mwaka huu eneola ivalalila wilayani hapa
ambapo kosa la kwanza ni kushawish rushwa ya laki mbili na 2.na elifu hasini
kutoka kwa Felis Kivengi Sanga ili kuweza
kumuachia huru Godfrey Mahenge ambae bado anaendelea kutumikia kifungo
kwa sasa.
Kosa la pili kupokea rushwa
kiasi cha laki mmoja kutoka Felic
Mahenge ili kuachia huru mfungwa huyo kinyume cha sheria takukuru sura
ya 15kwenye mabano mmoja A ya mwaka 2007.
Hata hivyo mshitakiwa Juma
swedi alipoulizwa mahakamani hapo alikana kuhusika na tukio hilo na mh hakimu
kapokoro ameiharisha kesi hiyo hadi desemba kumi na tatu mwaka huu na
mshitakiwa yupo nje kwa dhamana na upelelezi wa tukio hilo bado unaendelea.
0 comments:
Post a Comment