Home » » RADHI KWA WASOMAJI WA KITULO FM BLOG

RADHI KWA WASOMAJI WA KITULO FM BLOG

Written By kitulofm on Friday, 31 January 2014 | Friday, January 31, 2014


Baadhi ya watangazaji wa kitulo fm wakiwa katika picha ya pamoja na mwezeshaji kutoka katika mradi wa Tanzania Media Fund(TMF)Bw.Rechengula alipokuwa akitoa nondo za kuimarisha redio katika kuongeza kipato,ubora wa vipindi na mengine mengi

Tunapenda kukuomba radhi msomaji wa mtandao huu kwa kutopata habari kem kem kutoka katika mtandao huu takribani mwezi mmoja sasa hivyo tumerudi kwa ajili ya kukuhabarisha zaidi
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm