Home » » WAZIRI MUKANGARA AZINDUA BODI MPYA YA BAKITA JIJINI DAR

WAZIRI MUKANGARA AZINDUA BODI MPYA YA BAKITA JIJINI DAR

Written By kitulofm on Wednesday, 8 January 2014 | Wednesday, January 08, 2014


Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) Bi. Martha Qorro akimkaribisha Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dr. Fennela Mukangara (wa kwanza aliyekaa kulia) kuzindua Bodi hiyo jijini Dar es Salaam leo.wapili kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni Prof. Hermas Mwansoko.
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dr. Fennela Mukangara akiongea na Wajumbe wa Bodi ya Baraza la Kiswahili la Taifa mara alipozindua Bodi hiyo jana jijini Dar es Salaam.
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm