Home » » PUGU:WANAFUNZI WATAFUNWA NA KUNGUNI

PUGU:WANAFUNZI WATAFUNWA NA KUNGUNI

Written By kitulofm on Sunday, 2 February 2014 | Sunday, February 02, 2014

               Picha haihusiani na shule husika
Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Pugu mkoani Dar es Salaam, wanadaiwa kupata anemia kutokana na kuumwa na kunguni waliojikita kwenye samani na kila mahali kwa miongo kadhaa.
 
Hali hiyo, imesababisha wazazi na wanafunzi kuulaumu uongozi wa shule hiyo kushindwa kuwaangamiza wadudu hao wanaowanyonya damu watoto hadi kusababisha maradhi ya upungufu wa damu.
 
Hata hivyo, katika hali ya kuonyesha kutojali, uongozi wa shule unasema kunguni ni kitu kidogo siyo tatizo la kupasua kichwa.
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm