Home » » AKAMATWA NA SARE ZA JWTZ JIJINI MBEYA

AKAMATWA NA SARE ZA JWTZ JIJINI MBEYA

Written By kitulofm on Tuesday, 5 November 2013 | Tuesday, November 05, 2013


Jeshi la polisi mkoani Mbeya linamshikilia Peter Patrick (20) mkazi wa Sae jijini hapo kwa tuhuma za kukutwa na sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (Jwtz).

Kaimu kamanda wa Polisi mkoani Mbeya kamishna msaidizi Robart Malaya alisema kuwa tukio hilo lilitoa oktoba 31 mwaka huu saa 5:00 usiku maeneo ya Mamajohn.

Aliendelea kwa kusema kuwa mtuhumiwa alikutwa amevaa kofia,kombati na buti la jeshi hilo kitu ambacho ni kinyume na sheria na taratibu zinafanywa ili kuweza kufikishwa mahakamani kujibu mastaka yanayo mkabili.
Na Saimeni Mgalula,Mbeya
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm