Home » » ANUSURIKA KUZIKWA AKIWAAI

ANUSURIKA KUZIKWA AKIWAAI

Written By kitulofm on Tuesday, 26 November 2013 | Tuesday, November 26, 2013

Kaburi ambalo angezikwa huyo mzee
Mume wa Marehemu, Moses Pascal (27) mkazi wa Uyole Jijini Mbeya alisema mkewe alifikwa na umauti walipokuwa wameenda kijijini kwao Shilanga kwa ajili ya kilimo lakini kabla ya kifo cha Mkewe walikuwa wametoka Hospitali kumtibu mtoto wao majira ya saa Tisa alasiri.
Mwenyekiti wa kijiji cha Shilanga, Romani Tubuke, alisema lilitokea hivi karibuni majira ya saa 9 alasiri wakati marehemu Salome Amosi (20) kupoteza maisha akiwa anafua nguo katika mto uliojirani na kijiji hicho.

Mzee mmoja mkazi wa kijiji cha Shilanga Wilaya ya Mbeya Mkoani hapa amenusurika kuzikwa akiwa hai akituhumiwa kumuua mkwewe kwa ushirikina.

Tukio lilitokea hivi karibuni majira ya saa tisa alasiri ambapo Mzee huyo Pascal Mwanjelanje(75) alinusurika kuzikwa akiwa hai akituhumiwa kumuua mke wa mtoto wake aliyejulikana kwa jina la Salome Amosi (20).
SOMA ZAIDI;eddy blog
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm