Home » » BEBE COOL AMFUNIKA D BANJ

BEBE COOL AMFUNIKA D BANJ

Written By kitulofm on Wednesday, 6 November 2013 | Wednesday, November 06, 2013


 
                        Msanii kutoka Uganda Bebe cool

Msanii wa muziki kutoka nchini Uganda, Bebe Cool ameweza kuiwakilisha vizuri nchi yake huko Zimbabwe
ambapo katika mpambano wake na msanii D'Banj kutoka Nigeria, msanii huyu kutoka Uganda aliweza kufanya onyesho kali lililomfunika hasimu wake huyo.

Tukio hili ni kutoka tamasha la Battle For Africa ambalo liliwakutanisha wakali hawa wa muziki, na mwisho wa siku Bebe Cool akaweza kufunika kutokana na kile kilichotajwa kuwa nyimbo zake kuwa kipenzi cha mashabiki wengi wa muziki kutoka nchini humo.

Kwa upande wa D Banj, ripoti zinaweka wazi kuwa staa huyu aliweza kufanya poa katika dakika 45 za kwanza za onyesho lake, na baadaye mambo kumbadilikia kutokana na mashabiki kutokuwa na ufahamu mkubwa wa nyimbo
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm