Home » » HALI YA MZEE NELSON MANDELA NI MBAYA

HALI YA MZEE NELSON MANDELA NI MBAYA

Written By kitulofm on Sunday, 17 November 2013 | Sunday, November 17, 2013

 Wini Madikizela aliyekuwa mke wa rais mstaafu wa Afrika kusini Nelson Mandela ametoa taarifa kwa vyombo vya habari kuwa hali ya rais wa zamani wa Afrika kusini Nelson Mandela ni mbaya na hawezi kuzungumza

 
Taarifa hiyo inasema kuwa kwa sasa Mandela anaongea kwa kutoa ishara tu na sauti yake haitoki na kwa kiasi kikubwa anategemea mipira aliyowekewa akiwa anaendelea na matibabu nyumbani

Madaktari nchini humo wameahidi kuendelea kupambana na hali hiyo ya mandela hadi sauti yake irudi kama mwanzoni

Kwa sasa Mzee Mandela anaendelea na matibabu yake akiwa nyumbani kwake nchini Afrika kusini
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm