Home » » WANAHABARI WATAKIWA KUWA CHACHU KATIKA KUZUIA MAAMBUKIZI YA MAMA KWENDA KWA MTOTO

WANAHABARI WATAKIWA KUWA CHACHU KATIKA KUZUIA MAAMBUKIZI YA MAMA KWENDA KWA MTOTO

Written By kitulofm on Thursday, 14 November 2013 | Thursday, November 14, 2013





 Na Verinica Mtauka 
Makambako

Tunajali inatarajia kuzindua mradi mkubwa wa ZIRO VVU katika mikoa ya Iringa na Njombe katika kutokomeza maambukizi ya ukimwi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto 

Hayo yamebainishwa mjini Makambako kwenye warsha kwa wadau wa habari na wanahabari  wa vyombo vya habari mkoa wa Njombe na Iringa ambapo wahabari hao wametakiwa kuwa chachu kwa kutumia vyombo vya habarikatika kutoa elimu kuhusu tiba ya ART  kwa maisha yote kwa wajawazito na wanaonyonyesha wenye VVU

Katika kikao hicho imebainika kuwa Tanzania imepiga hatua kubwa katika kupunguza viwango vya maambukiziya virusi vya ukimwi kutoka kwa mama kwenda kwa mtotohadi kufikia mwaka 2010 asilimia 94 ya vituo vya afya ya uzazina mtotovilikiwa vinatoa hudumakuzuia maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto na kufikia takribani  asilimia 70 ya wajawazito walio katikatiba ya kuzuia  maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm