Home » » TEKNOHAMA KUINUA KILIMO AFRIKA

TEKNOHAMA KUINUA KILIMO AFRIKA

Written By kitulofm on Monday, 18 November 2013 | Monday, November 18, 2013

Imeelezwa kwamba ili bara la Afrika liwe na uhakika wa kujipatia chakula kwa ajili ya kuwalisha wakaazi wake, linahitaji kupiga hatua za haraka katika matumizi ya teknolojia ya habari na mawasiliano (TEKNOHAMA).

Kilimo nchini Burundi.
                  Kilimo nchini Burundi.
Sylivanus Karemera anaangazia umuhimu wa teknolojia ya habari na mawasiliano katika kukuza kilimo barani Afrika na uwezekano wa kulifanya bara hilo kuwa na chakula cha kutosha.

Kusikiliza makala hii, bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Makala: Sylvanus Karemera
Mhariri: Josephat Charo
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm