Home » » MWANDISHI MSHINDI WA NISHATI YA NOBEL AFARIKI

MWANDISHI MSHINDI WA NISHATI YA NOBEL AFARIKI

Written By kitulofm on Monday, 18 November 2013 | Monday, November 18, 2013

Mshindi  wa  nishani  ya  Nobel   ya  fasihi  Doris  Lessing amefariki. Akiwa  ni  mzaliwa  wa  Iran  mwaka  1919, lakini wazazi  wake  wakiwa  Waingereza , Lessing  alikulia  kusini mwa  Afrika  kabla  ya  kuhamia  Uingereza. 

Aliandika kitabu  chake  cha  kwanza  nchini  Uingereza , kilichojulikana  kama " The Grass  Is Singing", Majani yanaimba.

  Aliwahi  kusema  kuwa  anafurahia  kuandika kuhusu  kitu  chochote. 

Ameongeza  kuwa  hakuna  furaha kama  wakati  una  hadithi  nzuri  kichwani  mwako  na kuanza  kuiandika.

Amefariki akiwa na umri wa miaka 94.
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm