Home » » ADHABU YA VIBOKO IREJESHWE SULENI

ADHABU YA VIBOKO IREJESHWE SULENI

Written By kitulofm on Saturday, 28 December 2013 | Saturday, December 28, 2013

Kuondolewa kwa adhabu ya bakora shuleni kumesababisha wanafunzi wengi kukosa nidhamu na kujiingiza katika mambo ya anasa na kupata ujauzito visiwani Zanzibar.

Hayo ni maoni ya baadhi ya wazazi wa kijiji cha Chwaka waliohojiwa na NIPASHE kufuatia malalamiko ya kukithiri kwa ndoa na mimba za utotoni kijijini hapo.

SOMA ZAIDI:NIPASHE
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm