Home » » KRISMASI MAJANGA

KRISMASI MAJANGA

Written By kitulofm on Wednesday, 25 December 2013 | Wednesday, December 25, 2013


Mamia ya abiria, wamekwama kusafiri katika Kituo Kikuu cha Mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani cha Ubungo  jijini  Dar es Salaam kutokana na upungufu wa mabasi.
  
Abiria hao pia wamelamikia  ongezeko kubwa la nauli ambazo sasa zimefikia Sh70,000 kutoka Sh23,000 kwa mabasi ya kwenda katika Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Mbeya na Iringa.
SOMA ZAIDI:MWANANCHI
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm