Home » » MAFUNZO YA ULINZI NA USALAMA WA MTOTO WILAYANI MAKETE YAMEMALIZIKA

MAFUNZO YA ULINZI NA USALAMA WA MTOTO WILAYANI MAKETE YAMEMALIZIKA

Written By kitulofm on Tuesday, 3 December 2013 | Tuesday, December 03, 2013




Na Veronica Mtauka 

 Jamii imetakiwa kutambua suala la ulinzi na usalama wa mtoto ni la kila mmoja wetu na sio kuyaachia mshirika pamoja na madhehebu ya dini.




 Haya yamesemwa hapo jana na mkuu wa wilaya ya Makete mh. Josephine Rabi Matiro kwenye mafunzo ya ulinzi  na usalama wa mtoto kwa washimiwa madiwa pamoja na wakuu wa idara mafunzo yaliyofanyika kwenye ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya makete

Bi. Matiro amesema kuwa suala la kuwapa ulinzi watoto la la kila mmoja wetu hasa halmashauri kama sheria inavyosema lakini hilo limekuwa alifanyika na kuwataka viongozi hao kuweka mikakati ya kufanikisha suala la ulinzi na usalama wa mtoto.i

kwa upande wake afisa ustawi wa jamii ambae pia alikuwa muongozaji wa mafunzo hayo Bi.Sechelela Dagaa amesema wao kama ustawi wanachangamoto kubwa ya bajeti na kuomba waheshimiwa madiwanikuliangali suala hilo kwa umakini mkubwa ili waweze kuwasaidia watoto wa wilaya ya Makete ambao wengi wao wanaishi katika mazingira hatarishi.

Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm