Home » » WAANDAMANAJI UKRAINE WAVAMIA OFISI ZA SERIKALI

WAANDAMANAJI UKRAINE WAVAMIA OFISI ZA SERIKALI

Written By kitulofm on Tuesday, 3 December 2013 | Tuesday, December 03, 2013

Waandamanaji Ukraine wakiwa katika mitaa mbali mbali.
Waandamanaji hao pia walizuia wafanyakazi kuendelea na shughuli zao wakishinikiza msukumo mpya kudai rais Viktor Yanukovich ajiuzulu kutokana na mzozo wa uhusiano na Umoja wa Ulaya.

Maadamano hayo yamefutia mkaubliano ya wananchi kuitiisha maandamano ya nchi nzima , ambapo walifunga njia kuu ya kuingilia kwenye majengo ya serikali huku wakiwa wamebeba mabanko yenye jumbe mbali mbali.

Msemaji wa makamu wa rais wa nchi hiyo, Mykola Azarov amesema kuwa wafanyakazi wameshindwa kuingia ofisini, huku wakifanya juhudi za kuzungumza na waandamanaji hao kuwaruhusu wafanyakazi kuingia ofisini, na kuwaeleza kuwa, rais Azarov alikuwa hajawasili kazini.

Maandamano hayo yalilenga majengo ya serikali baada ya maadamano ya upinzani yaliyohusisha takribani watu 350,000 jana, katika mji mkuu wa Ukraine, KIEV na kusababisha vurugu baina ya polisi na waandamanaji hao.
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm