Home » » MGOMO MWANZA KWA SIKU YA JANA

MGOMO MWANZA KWA SIKU YA JANA

Written By kitulofm on Tuesday, 31 December 2013 | Tuesday, December 31, 2013

Suala la machine zinazomilikiwa na Mamalaka ya Mapato Tanzania[Tra]zimeendelea kuwasumbua wafanyabiashara mbalimbali,baada ya 88.5 Kariakoo Dar kugoma na 87.8 Mbeya nao kugomea uwepo wa hizi mashine sasa ni 88.1 Mwanza nao wamegomea hizi mashine
mgomo6Wafanyabiasha wa maduka ya jijini Mwanza leo wagoma kufungua maduka yao wakigomea mashine za kutolea risiti za EFD toka TRA,maduka mengi mitaa mbalimbali ya Mwanza hayajafunguliwa hizi ni baadhi ya picha za maeneo mbalimbali jijini Mwanza.
mgomo13Wafanyabiashara walikutana kituo cha zamani cha mabasi cha Tanganyika wakiwa na mabango mbalimbali yanayowasilisha ujumbe wa kupishana na mashine hizo ambapo mbali na makato yake pia kodi nyingine hutozwa pembeni hali wanayoitafsiri kama unyonyaji.
mgomo5picha na Gsengo.blogspot.com
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm