Home » » POLISI TUNDUMA WASHUTUMIWA KUHUSIKA NA UNYAMA

POLISI TUNDUMA WASHUTUMIWA KUHUSIKA NA UNYAMA

Written By kitulofm on Saturday, 21 December 2013 | Saturday, December 21, 2013

KIJANA Adam Mtaki (20) amelazwa katika hosptali ya mji mdogo wa Tunduma wilayani Momba mkoa wa Mbeya,baada ya kupata kipigo na kufanyiwa mateso makali na watu wanaodaiwa kuwa  askari Polisi wa kituo cha Tunduma. 

Adamu ambaye ni  mtoto wa tatu wa mwandishi wa habari wa kampuni yaUhuru Publications LTD Shomi Mtaki anayeripoti kutokea mji wa Tunduma uliopo mpakani mwa Tanzania na Zambia. 

Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa baba mzazi wa kijana huyo, Shomi Mtaki alisema kuwa tukio hilo limetokea Disemba 5 majira ya saa 5.00 usiku eneo la mtaa Wasikanyika wakati Adam alipo kutana na watu wawili wanaodaiwa kua ni askari polisi waliovalia nguo za kiraia ambapo mmoja alimfahamu kwa jina moja la Shuku. 
 
SOMA ZAIDI:AMINIA WEBSITE
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm