Home » » SPIKA MAKINDA AWAAGIZA WABUNGE WALIOCHUKUA POSHO BILA KUSAFIRI WAZIRUDISHE MARA MOJA

SPIKA MAKINDA AWAAGIZA WABUNGE WALIOCHUKUA POSHO BILA KUSAFIRI WAZIRUDISHE MARA MOJA

Written By kitulofm on Friday, 20 December 2013 | Friday, December 20, 2013



Sakata la baadhi ya wabunge kutuhumiana kuwa wamechukua fedha za serikali kwa ajili ya kufanya  Safari na hawakusafiri limechukua sura nyingine baada ya spika wa bunge Mh. Anne Makinda kuwataka  wale wote waliochukua fedha hiizo bila ya kusafiri wazirudishe na huku akisisitiza anawajua wote kwa majina.

Mh Makinda ameyasema hayo alipokuwa akiongoza mkutano wa kumi na nne na kikao cha kumi na tisa  ambapo amesema anashangazwa na maneno maneno ambayo wabunge wamekuwa wakitupiana  wakati anawajua wote waliochukua fedha bila ya kusafiri.
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm