Home » » RAIA WA CHINA NA TANZANIA WAFA MAJI DAR

RAIA WA CHINA NA TANZANIA WAFA MAJI DAR

Written By kitulofm on Saturday, 28 December 2013 | Saturday, December 28, 2013

Raia wa China aliyefahamika kwa jina la Wangi Jian(47), amefariki dunia baada ya kuzama kwenye bwawa la kuogelea katika hoteli ya Golden Tulip, jijini Dar es Salaam.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kinondoni, Camilius Wambura, jana alithibitisha kutokea kwa tukio hilo, majira ya saa 7:30 mchana na kutaja namba ya hati ya kusafiria ya raia huyo ni G25317143.
SOMA ZAIDI:NIPASHE
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm