Akizungumza na kitulo fm kwa
niaba ya Mkuu wa polisi Wilaya ya Makete
OCD ,Mkuu wa upelelezi Wilaya OC CID Bwana Gozbert Komba amesema tukio hilo lilitokea siku ya tarehe tatu
mwezi huu maeneo ya Iwawa na wao walipata taarifa siku ya tarehe tano kutoka
kwa Bwana Erick Mahenge ambae ni mfanyabiashara wa hapa mjini.
Amesema polisi wanatarajia kumfikisha mahakamani siku chache zijazo
0 comments:
Post a Comment