Home » » TWASIRA ZA ZITTO KABWE ALIVYOIBWAGA CHADEMA MAHAKAMA KUU KANDA YA DAR ES SALAAM

TWASIRA ZA ZITTO KABWE ALIVYOIBWAGA CHADEMA MAHAKAMA KUU KANDA YA DAR ES SALAAM

Written By kitulofm on Wednesday, 8 January 2014 | Wednesday, January 08, 2014


Mahakama ya rufaa kanda ya Dar es Salaam imempa ushindi mbunge wa Kigoma kaskazini Mh. Zitto Kabwe katika shauri lake la kupinga kamati kuu ya chama chake kujadili uanachama wake hadi rufaa aliyokata baraza kuu la chama hicho itakaposikilizwa na kuamuliwa.
Zitto Kabwe akipeana mikono na Wakili wa CHADEMA,Tundu Lisu baada ya kukibwaga chake chake.
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm