Home » » HIVI NDIVYO MWENYEKITI WA CHADEMA ALIVYOCHUNGULIA JEHANAMU

HIVI NDIVYO MWENYEKITI WA CHADEMA ALIVYOCHUNGULIA JEHANAMU

Written By kitulofm on Wednesday, 8 January 2014 | Wednesday, January 08, 2014

Mhudumu wa Hospitali ya Muhimbili akimrejesha Joseph Yona wodini baada ya kufanyiwa matibabu katika Kitengo cha Mifupa cha MOI, Dar es Salaam jana.

Mgogoro unaoendelea ndani ya Chadema una uhusiano na tukio la kutekwa na kuteswa kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wa Wilaya ya Temeke, Joseph Yona, Polisi imesema.

Hatua za awali za upelelezi wa tukio hilo kwa mujibu wa Polisi, kimazingira zinaonesha kuwa linatokana na mgogoro unaoendelea ndani ya chama hicho, huku kukiwa hakuna chanzo kingine kinachohusishwa.
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm