Home » » JK AHIMIZA HAKI IPATIKANE KWA WAKATI

JK AHIMIZA HAKI IPATIKANE KWA WAKATI

Written By kitulofm on Tuesday, 4 February 2014 | Tuesday, February 04, 2014

Rais Jakaya Kikwete amewataka wadau wa haki na sheria na vyombo vyote kushirikiana pamoja katika utendaji kazi, ili kuwawezesha walengwa kupata haki zao kwa wakati.

Akizungumza kwenye maadhimisho ya siku ya sheria nchini yaliyofanyika viwanja vya Mahakama Kuu jana, Rais Kikwete alisema ni ukweli usiopingika ili haki itolewe kwa wakati inahitaji ushiriki wa wadau wote wanaosimamia haki na sheria.

Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm