Home » » KISIMA 'WALIMOZIKWA' WAFARANSA CHAFUKULIWA

KISIMA 'WALIMOZIKWA' WAFARANSA CHAFUKULIWA

Written By kitulofm on Tuesday, 4 February 2014 | Tuesday, February 04, 2014

 Kazi ya kutafuta mabaki ya miili ya raia wawili wa Ufaransa waliouwawa kwa kukatwakatwa kwa mapanga na kutupwa katika kisima huko Matemwe katika Mkoa wa Kaskazini, imekamilika, imefahamika.

Akizungumza na Mwananchi jana, Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja, Pembe Juma Khamis, alisema kazi ya kufukuwa kisima hicho ilikamilika saa 9:00 alasiri ya juzi.
Alisema kazi hiyo ilifanywa kwa ushirikiano wa Kikosi cha Zimamoto na Uokozi ,Polisi na wananchi wa shehiya hiyo.

Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm