![]() |
| Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Philip Mangula katika mkutano wake na Wanachama wa Mujata uliofanyika katika ukumbi wa CCM Mkoa wa Mbeya uliopo Sokomatola Jijini Mbeya |
![]() |
| Viongozi wa Mujata wakiwakilishwa na machifu wa mkoa wa Mbeya wakimvisha Shuka Makamu Mwenyekiti kama ishara ya kumkaribisha Mkoani Mbeya na kuwa Mlezi wa Mjata popote aendapo. |
![]() |
| Mwenyekiti wa Mujata, Chifu Shayo Soja Masoko akimkabidhi Zawadi Makamu Mwenyekiti wa CCM |
![]() |
Wajumbe wa Mkutano kati ya Mujata na makamu Mwenyekiti wa CCM Philip Mangula wakifuatilia kwa makini Risala inayosomwa na Katibu wa Mujata Uswege
|






0 comments:
Post a Comment