Home » » BUNGENI HAPAKALIKI:WABUNGE WA UPINZANI WATOKA NJE YA BUNGE KWA MADAI YA KUCHOSHWA NA MATUSI WANAYOTUKANWA

BUNGENI HAPAKALIKI:WABUNGE WA UPINZANI WATOKA NJE YA BUNGE KWA MADAI YA KUCHOSHWA NA MATUSI WANAYOTUKANWA

Written By kitulofm on Wednesday 16 April 2014 | Wednesday, April 16, 2014

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjWhhEBVXOoQ57tjUXA8SE1zAH3reafvfOR3kUZzqYMQIl5Fr1lbsqTAC5JUEK-lkSwuJ8iG3rRfKQZiAHJ_o04BcgJLp92GGFwSdmpSuQxNkeeuaC6qtbGGN4dSwO75MAOF4gi_2dUfLE/s1600/bunge.jpg
Wabunge wa upinzani wote wamesusa na kuondoka katika ‪‎Bunge La Katiba‬ kwa madai ya kuchoka matusi wakati wakitoa michango yao.

Wabunge wa kundi la UKAWA wameondoka ndani ya ukumbi wa bunge na makamu mwenyekiti anasema kuwa wakati wanaanza kikao cha bunge kolamu ilikuwa imetimia hivyo kanuni inawaruhusu kuendelea
CHANZO:EDYY BLOG
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm