Home » » CHADEMA KUINGIA NA AGENDA YA CCM BUNGENI

CHADEMA KUINGIA NA AGENDA YA CCM BUNGENI

Written By kitulofm on Thursday, 21 November 2013 | Thursday, November 21, 2013

Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Chadema, John Mnyika (katikati) akizungumza na aliyekuwa Katibu wa Chama cha Madaktari Tanzania (Mat), Dk Rodrick Kabangila, baada ya kutangaza kujivua nafasi za uongozi ndani ya chama hicho na kujiunga na Chadema Dar es Salaam jana. Kulia ni Mbunge wa Viti Maalumu, Naomi Kaiula. Picha na Fidelis Felix 

Siku 12 baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwataja mawaziri watatu kuwa wameshindwa kuwajibika na kutaka wahojiwe na Kamati Kuu (CC) ya chama hicho, Chadema kimeibuka na kusema kitaanika utendaji mbovu wa viongozi hao katika mkutano wa Bunge unaoanza kesho Mjini Dodoma.
 
Ili kufanikisha mkakati wake, chama hicho kikuu cha upinzani nchini, kimewaomba wabunge wa CCM kuwapa ushirikiano katika mkakati wake wa kuwawajibisha mawaziri hao.
SOMA ZAIDI:MWANANCHI
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm