Home » » WATU 3 WAUWAWA KWA BOMU

WATU 3 WAUWAWA KWA BOMU

Written By kitulofm on Thursday, 21 November 2013 | Thursday, November 21, 2013

Bomu  lililokuwa  limelengwa  kuyashambulia   majeshi  ya usalama  limesababisha  vifo  vya  watu watatu  na kuwajeruhi wengine  25  leo  katika  eneo  la  kusini magharibi  ya  Pakistan.

 Bomu  hilo  liliwekwa  katika baiskeli  karibu  na  kituo  cha  upekuzi  wa barabarani kinachoendeshwa  na  polisi  na  walinzi  wa  mipakani katika  mji  wa  Quetta, mji  mkuu  wa  jimbo  la Baluchistan.
SOMA ZAIDI:DWKISWAHILI
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm