Wanafunzi wa kike wa Ikuwo sekondari kwa sasa wanalala hapa kama ilivyoshuhudiwa na mtandao huu.
kama kawaida wamepanga magodoro yao chini kwa raha zao
Mkuu wa shule ya Ikuwo Sekondari akifafanua jambo kwa mwandishi wetu.
=====
Kutokana
na idadi ya wanafunzi wengi wa kike wilayani Makete mkoani Njombe
kukatisha masomo kwa sababu mbalimbali ikiwemo kupata mimba, shule ya
sekondari Ikuwo imeonesha kukerwa na tatizo hilo na kuamua kuchukua
hatua za awali za kupambana nalo
Mwandishi
wa mtandao huu alifika shuleni hapo na kukuta wanafunzi wa kike wote
wakiwa wanalala shuleni hapo licha ya mabweni hayo kukumbwa na
changamoto ya ukosefu wa vitanda
0 comments:
Post a Comment