Home » » CHADEMA YATISHIA KUSUSIA KURA YA MAONI KATIBA MPYA

CHADEMA YATISHIA KUSUSIA KURA YA MAONI KATIBA MPYA

Written By kitulofm on Sunday, 15 December 2013 | Sunday, December 15, 2013

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema hakitakubali kura ya maoni za Katiba Mpya kufanyika bila daftari la wapiga kura kuboreshwa.
Akihutubia mkutano wa hadhara Kijiji cha Mwendakulima, wilayani Kaliua, mkoani Tabora, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa alisema hawatakuwa tayari kuingia kura ya maoni ya Katiba Mpya bila daftari la wapiga kura kuboreshwa kwa kisingizio cha gharama na ukubwa wa nchi.
Dk Slaa alisema Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) haipaswi kuogopa gharama za kufanya mabadiliko hayo, huku akibainisha kuwa demokrasia yenyewe ndiyo gharama na kwamba, kufanyia maboresho daftari hilo ni matakwa ya sheria siyo hisani.
SOMA ZAIDI:MWANANCHI
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm