Home » » KANISA LILILOPIGWA BOMU ARUSHA LAZINDULIWA CHINI YA ULINZI MKALI

KANISA LILILOPIGWA BOMU ARUSHA LAZINDULIWA CHINI YA ULINZI MKALI

Written By kitulofm on Sunday, 29 December 2013 | Sunday, December 29, 2013

Hatimaye  Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi la Olasiti, jijini Arusha, lililopigwa bomu Mei 5, mwaka huu na kuahirishwa uzinduzi wake, limezinduliwa jana na Balozi wa Papa na Mwakilishi wa Vatican nchini Tanzania, Askofu Fransisco Padilla.
 
Kabla ya uzinduzi huo, ibada hiyo ilianza kwa kubariki makaburi matatu ya Regina Laizer (50), James Kessy (16) na Patricia Assey (10), ambao wote waliuawa katika tukio hilo.
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

KITULO FM LOGO

KITULO FM LOGO
Tusikilize masaa 18 kwa siku kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa wilayani Makete mkoani Njombe na maeneo ya jirani

WASOMAJI WETU

KUMBUKUMBU YA HABARI ZETU

 

Copyright © 2013. KITULOFM BLOG - Haki zote zimehifadhiwa
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inawezeshwa na Kitulo Fm